MAKAMU WA RAISI MHE. SAMIA AZINDUA KAMPENI YA UCHUNGUZI WA SARATANI YA MATITI NA MLANGO WA KIZAZI KATIKA MKOA WA MWANZA

                             Makamu  wa  Raisi wa Jamhuri  ya  muungano  wa  Tanzania  Mhe Samia  Hassan
                                      akihutubia   wakati   uzinduzi  wa  kampeni ya  uchunguzi  wa  saratani ya matiti
                               pamoja na mlango wa kizazi  kwenye  uwanja  wa  furahisha  jijini  mwanza
                                 Makamu  wa  Raisi  wa  Jamhuri ya Muungano  wa  Tanzania  Mhe. Samia Hassan
                                          akizungumza  na Waziri wa Afya,Maendeleo  ya  Jamii, Wazee na Watoto
                                   Mhe Ummy  Mwalimu (katikati)  pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha Madaktari
                                     wanawake Tanzania Dk  Serafina Mkuwa  wakati  wa uzinduzi wa kampeni
                                  uchunguzi saratani  ya matiti pamoja na mlango wa kizazi
                                      Makamu  wa  Raisi  wa Jamhuri  ya Muungano  wa Tanzania Mhe Samia Hassan
                                         akimsikiliza Waziri  wa Afya  ,Jinsia Wazee naWatoto Mhe Ummy Mwalimu
                                        kwenye  mabanda yaliyokuwa yanatoa huduma wakati  wa uzinduzi  kwenye
                                                uwanja  wa furahishajijini  Mwanza
                           Makamu  Wa Raisi  Wa Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania  Mhe Samia Hassan
                            akiwampungia  mkono wananchi  waliojitokeza  kwenye uwanja wa furahisha
                                     Sehemu  ya  Wanawake   waliojitokeza  kwenye uzinduzi huo

       


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment